A Zeno.FM Station Elie Mpanzu Kubaki Simba ni Ngumu, KRC Gent, Pyramids na Berkane Wanamtaka

Elie Mpanzu Kubaki Simba ni Ngumu, KRC Gent, Pyramids na Berkane Wanamtaka


KRC GENK YA UBELGIJI, PYRAMIDS FC NA RS BERKANE ZAPIGANA VIKUMBO KUMSAJILI ELIE MPANZU

Taarifa tulizozipata kutoka kwenye chanzo chetu cha kuaminika zinaeleza kuwa kuna klabu tatu zinazomfuatilia kwa karibu kiungo mahiri Mpanzu, ambaye ameonesha kiwango bora kwenye mashindano ya CAF msimu uliopita.

Klabu hizo ni KRC Genk ya Ubelgiji, Pyramids FC ya Misri na RS Berkane ya Morocco. Kwa mujibu wa taarifa hizo, KRC Genk tayari wamejiridhisha na uwezo wa Mpanzu na wako tayari kumsajili kwa mkataba wa miaka miwili.


Tags :-

Post a Comment

0 Comments