Depu Atupia Hat Trick Yanga Wakiifuata TMA Stars 16 Bora

Laurindo Aurélio ‘Depu’ amefunga magoli matatu ‘hat-trick’ huku Wananchi wakitinga hatua ya 16 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB (FA Cup) kufuatia ushindi wa 7-1 dhidi ya Polisi Tanzania katika dimba la KMC Complex, Mwenge.
Wananchi watachuana na TMA Stars FC kwenye hatua inayofuata.
FT: Yanga Sc 7-1 Polisi TZ 01′ Mudathir
22′ Depu
36′ Depu
38′ Majagi (og)
59′ Depu
76′ Buba
84′ Abdulnasir
81′ Asinki (og)
No comments
Note: only a member of this blog may post a comment.