A Zeno.FM Station AZAM FC YAIFUATA AL MERREIKH JUBA MAPEMA MECHI JUMAMOSI IJAYO

AZAM FC YAIFUATA AL MERREIKH JUBA MAPEMA MECHI JUMAMOSI IJAYO

IDDY AMAN
0

 

KIKOSI cha Azam FC kimeondoka Alfajiri ya leo kwenda Sudan Kusini kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Al Merreikh FC, maarufu kama Al Merreikh Juba Jumamosi ya wiki ijayo, Septemba 20 Uwanja wa Juba Jijini Juba.
Timu hizo zitarudiana Septemba 28 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam na mshindi wa jumla atakutana na mshindi wa jumla kati ya AS Port ya Djibouti na KMKM ya Zanzibar.

Tags

Post a Comment

0 Comments

Post a Comment (0)
3/related/default