Klabu ya Yanga SC imetangaza kuwa sherehe za kilele cha Wiki ya Mwananchi zitafanyika Ijumaa, Septemba 12, 2025, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo litakuja siku mbili baada ya Simba Day, ambayo itapigwa Jumatano, Septemba 10, 2025, katika uwanja huo huo.
Yanga Watangaza Tarehe ya Kilele cha Siku ya Wananchi
Reviewed by IDDY AMAN
on
August 21, 2025
Rating: 5
No comments
Note: only a member of this blog may post a comment.
No comments
Note: only a member of this blog may post a comment.