-->

Breaking News

Yanga Watangaza Tarehe ya Kilele cha Siku ya Wananchi

 Yanga Watangaza Tarehe ya Kilele cha Siku ya Wananchi



Klabu ya Yanga SC imetangaza kuwa sherehe za kilele cha Wiki ya Mwananchi zitafanyika Ijumaa, Septemba 12, 2025, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.


Tukio hilo litakuja siku mbili baada ya Simba Day, ambayo itapigwa Jumatano, Septemba 10, 2025, katika uwanja huo huo.

No comments

Note: only a member of this blog may post a comment.

🔔 Enable Notifications

Get latest songs and entertainment updates instantly.