A Zeno.FM Station 𝗧𝗥𝗔𝗡𝗦𝗙𝗘𝗥 𝗡𝗘𝗪𝗦: Waarabu Wanamtaka LIONEL ATENA, Simba Wachomoa

𝗧𝗥𝗔𝗡𝗦𝗙𝗘𝗥 𝗡𝗘𝗪𝗦: Waarabu Wanamtaka LIONEL ATENA, Simba Wachomoa

 𝗧𝗥𝗔𝗡𝗦𝗙𝗘𝗥 𝗡𝗘𝗪𝗦: Waarabu Wanamtaka LIONEL ATENA, Simba Wachomoa



𝗧𝗥𝗔𝗡𝗦𝗙𝗘𝗥 𝗡𝗘𝗪𝗦: LIONEL ATENA➡️AL TAI YA SAUDIA

Klabu ya saudia Al-Tai wamewasilisha ofa rasmi yenye thamani ya $400,000 kusaini lionel ateba kutoka simba sc-lakini ofa hiyo limekataliwa, kwani haikufikia kiasi wanacho taka simba $1M

Simba kama deal halitafanyika basi ateba atasalia hadi januari… lakini ateba ana hamu ya kwenda saudia, na vyanzo vya karibu na mchezaji vinatarajia Al-Tai kurudi na ofa nzuri lililoboreshwa hivi karibuni. 👀

Mazungumzo bado yamefunguliw

Tags :-

Post a Comment

0 Comments