A Zeno.FM Station Yanga Yatwaa Ubingwa Ligi Kuu, Yamfunga Simba 2 Bila

Yanga Yatwaa Ubingwa Ligi Kuu, Yamfunga Simba 2 Bila


Yanga imetwaa ubingwa kwa kumchapa Mtani mechi zote mbili..

Ubora wa kikosi cha Yanga umewapa ubingwa.. Hongera Yanga kwa ubingwa.. Hongera Simba kwa kumpa Yanga ushindani mpaka dakika ya mwisho

Magoli ya Leo yamefungwa na Pacome na Clement Mzize

Tags :-

Post a Comment

0 Comments