
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mtangazaji/Mwigizaji Burton Mwemba maarufu kama Mwijaku amejiunga rasmi kwenye mchakato wa kuwania Ubunge kwa kuchukua fomu ya kugombea Jimbo la Mvomero Mkoani Morogoro kupitia tiketi ya CCM.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mtangazaji/Mwigizaji Burton Mwemba maarufu kama Mwijaku amejiunga rasmi kwenye mchakato wa kuwania Ubunge kwa kuchukua fomu ya kugombea Jimbo la Mvomero Mkoani Morogoro kupitia tiketi ya CCM.