A Zeno.FM Station Raja Casablanca kuwekwa Karantini

Raja Casablanca kuwekwa Karantini

IDDY AMAN
0


 Wizara ya Afya Nchini Morocco imeitaka Club ya Raja Casablanca kujiweka karantini ikiwa ni baada ya Wachezaji wake 9 kupimwa na kukutwa na Corona baada ya game ya nusu fainali vs Zamalek ya Misri.


Kwenye mechi hiyo Raja Casablanca walipoteza kwa goli 1-0 na watatakiwa kucheza mechi ya marudiano vs Zamalek Jumamosi hii nchini Misri. 

#SPORTSUPDATE

Story mpya na nyimbo mpya bonyeza hapa

Post a Comment

0 Comments

Post a Comment (0)
3/related/default