A Zeno.FM Station Fred Vunjabei "Tumeamua kudhamini Timu ya Lipuli Fc "

Fred Vunjabei "Tumeamua kudhamini Timu ya Lipuli Fc "

IDDY AMAN
0

 

Kampuni Ya Vunjabei Group Limited Rasmi Imefanikisha Kuidhamini Klabu Ya Wanapaluhengo LIPULI FC Kutoka Iringa Pamoja Na Kuuza Jezi Za Klabu Hiyo


Kupitia Ukurasa Wa Instagram Wa C.E.O Wa @vunjabei  @fred_vunjabei  Ameandika ...''Tumeamua kuidhamini team ya LIPULI FC , wana Iringa mmeipokea vizuri sana VUNJABEI 🙌🙌 tunawashukuru''

-

-

#entertainment extra 


Post a Comment

0 Comments

Post a Comment (0)
3/related/default