-->

Breaking News

Golikipa wa Stars na Beki Nangu Wapewa Thanks You JKT Tanzania

 Golikipa wa Stars na Beki Nangu Wapewa Thanks You JKT Tanzania



Klabu ya JKT Tanzania imetangaza kuwapa mkono wa kwaheri nyota wake wawili ambao ni golikipa wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Yakoub Suleiman na beki Wilson NANGU hivyo hawatakuwa sehemu ya kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa 2025/26.

Nyota hao wawili ambao walikuwa mhimili imara kwa maafande hao msimu uliopita wanaripotiwa tayari wamekamilisha uhamisho wao wa kujiunga na timu namba 5 kwa ubora barani Afrika, Simba Sc ya Tanzania.


No comments

Note: only a member of this blog may post a comment.

🔔 Enable Notifications

Get latest songs and entertainment updates instantly.