SIMBA Wamsajili Jonathan Sowah, Ateba Out - IDDYNATION SITE

Breaking News

SIMBA Wamsajili Jonathan Sowah, Ateba Out

 SIMBA Wamsajili Jonathan Sowah, Ateba Out



Kutoka ukurasa wa mchambuzi wa michezo Hans Rafael  inasemekana kwamba ucku huu Simba wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Singida Black stars Jonathan Sowah.

Simba wamemfuata sowah na project nzuri na kijana amekubali na dili limekamilika rasmi msimu ujao Sowah atavaa jezi ya mnyama.

Tutegemee kwa ujio wa Sowah, Simba itabidii wamuuze Ateba ambae ana ofa kubwa kutoka Morocco.

ATEBA OUT❌️

SOWAH IN ✅️

No comments

Note: only a member of this blog may post a comment.