
Mabingwa wa Ligi Kuu Nchini Algeria MC Alger wamewasilisha Rasmi ofa ya kutaka Kumsajili Kibu Denis Kutoka Simba SC.
Simba Wamethibitisha Kupokea Ofa hiyo 
Kuanzia sasa menejimenti ya Simba SC itaketi kujadili na kutathmini ofa hiyo kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho.
No comments
Note: only a member of this blog may post a comment.