Fei Toto Ameichagua Yanga…

Fei Toto Ameichagua Yanga…


Mchambuzi wa soka Hans Rafael kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika ✍🏿

“Jambo limeisha,wakubwa wamepita nae,kijana ameichagua Yanga na amesinya jana,msimu ujao ni assist na magoli ya kutosha…..tukutane wiki ijayo.

Mguu wake wa kulia umebarikiwa sana🖐️”.

Post a Comment

0 Comments