-->

Breaking News

NEWS | Ray Vanny akamilisha collabo yake na Jason Derulo

Siku chache zilizopita Ray Vanny alinyakua tuzo  ya BET katika kipengele alichokuwa anashindania. Hitmaker huyo wa Zezeta, ambaye yuko chini ya label ya WCB, amefanikiwa kukamilisha kufanya collabo na Jason Derulo kutoka Marekani.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Ray ameweka picha akiwa studio na msanii huyo na kuandika, “God bless you my brother @jasonderulo its amaizing opportunity,am so grateful for that……… Toka Saa 8 Usiku amekaa na mimi hadi Asubui… Studio kulikua na Watoto wakaaaaaliiiii 😂lakini kawacha waondoke sababu walichoka kukaa studio yeye kabaki na sisi tu. Naamini kilichofanyika Mtakipenda. Thanks boss @afrikidd @babutale.”

No comments

Note: only a member of this blog may post a comment.

🔔 Enable Notifications

Get latest songs and entertainment updates instantly.